Jinsi ya kutengeneza lipbam
Aina ya kwanza
mahitaji
Vaseline /mafuta yoyote ya mgando yani petroleum jelly
Mafuta ya Nazi
Asali
Rangi nyekundu ya chakula
/lipstick ( utachagua mwenyew utumie nini)
Jiko
Utengenezaji
Washa jiko bandika sufuria . weka vaseline ya kutosha kulingana na hitaji lako ( kama unatengeneza lipbam nying weka nyingi )acha iyeyuke
Ikishayeyuka weka asali kidogo. Changanya vizuri.
Weka rangi ( utachagua mwenyew unataka lipbam ziwe rangi gani)changanya vizuri kabisa . kisha mimina kwenye vifungashio. Halafu peleka kwenye friji muda Wa masaa kama mawili hivi . au unaweza kuiacha kwenye hewa tuu ila itachukua muda mrefu kuganda Ni vema ungetumia friji
Aina ya pili
Yeyusha vaseline /petrolleym jelly yoyote .kisha weka mafuta ya nazi kiasi. Changanya vizuri . weka rangi/eyeshadow au kipande cha lipstick ( ila uwe umekiyeyusha) changanya vzuri weka kwenye vifungashio peleka kwenye friji
Aina ya tatu
Rangi za kuchorea ( za mashulen)
Vaseline /petroleum jelly
Vunjavunja rangi . weka kwenye sufuria . ( sasa hapa ka unataka lipbam ziwe pink utavunja rangi za pink tuu n.k)
Yeyusha jikoni. Ongeza vaseline changanya vizuri. vikiyeyuka ipua mimina kwenye vifungashio peleka kwenye friji. Baada ya Masaa kama mawili zitakuwa tayari.
Tuesday, January 30, 2018
JINSI YAKUTENGENEZA LIP BALM
Subscribe to:
Posts (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
-
AWAMU YA PILI KATRESS KAMA NILIVYO SEMA MAHITAJI YOTE NDIO HAYO HAYO ILA HAPA TU KISHA CHANGANYA VITU VYOTE KWENYE VIAZI TUNATIA NA NYAMA Y...