FISH BALLS
MAHITAJI
Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi)
Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa
Carrot ndogo 1 (iloparwa kama chipsi)
Chumvi ya kiasi
Pilipili ya kuwasha 1 kubwa (paste)
Ndimu ya kiasi
Breadcrumbs 1/2 cup
Pilipili manga 1/2 tsp (powder)
Coriander (majani ya giligilani) 2 tbsp
JINSI YA KUTENGENEZA
Watoe tuna maji yote wawe wakavu waeke kwenye bakuli changanya na vitu vyote ila breadcrumbs weka kjk na nusu, ilobaki utatumia baadae
Changanya vizuri than fanya viduara kama hivo pakaa breadcrumbs panga kwenye trey ya kuchomea choma kwenye oven moto 170 kwa dakika 20 watoe tayari kwa kuliwa
Tuesday, March 10, 2020
Fish balls
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
-
AWAMU YA PILI KATRESS KAMA NILIVYO SEMA MAHITAJI YOTE NDIO HAYO HAYO ILA HAPA TU KISHA CHANGANYA VITU VYOTE KWENYE VIAZI TUNATIA NA NYAMA Y...
No comments:
Post a Comment