Adui mkubwa wa mahusiano yako ni uyu apa👉MAZOEA,,,ukiishi kimazoea mtaachana kwa sababu zisizo na msingi,ili udumu nae jifunze kumuona mpya kila siku,usiuruhusu moyo wako ujenge kitu kinaitwa MAZOEA,mazoea yanasababisha umuone wa kawaida uanze kupunguza upendo,mazoea yanasababisha umdharau kwa kuona kwamba nimeshamzoea ata akiniacha poa tuu,mazoea hayo hayo yanakufanya uishushe thamani yako hata kama alikua anakupenda kiasi gani,,mnajua kwa nn wenzetu wanadumu sana tofauti na couple za africa??afrika tumejizoesha vibaya kwa kuweka mazoea mbele,,wenzetu wanajua jinsi ya kuishi ili kila siku mtu amuone mwenzie mpya,end of the day utaskia wenzetu wale wanaishi kizungu,,sio kizungu ni wewe mwenyewe kuucontrol moyo wako kwa kuweka kitu kinaitwa NEW,, muone mpya kila siku utaamini nnalosema,au kama hutaki ishi nae kimazoea halafu utakuja kuhakikisha kweli msemo wangu una maana kubwa,,
Monday, July 10, 2017
JIFUNZE KULIEPUKA HILI KTK MAHUSIANO YAKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
No comments:
Post a Comment