MAKARONI
mahitaji
makaroni pacti (1)
tomato fresh (4-5)
kitunguu maji (1-2)
hoho (1)
karoti (1)
maji ya moto kiasi
nyama nusu
mafuta yakupikia kiasi
chumvi kiasi
tomato pest (1)
ndio au limao (2-3)
NAMANA YA KUFANYA
marinet nyama na vitu vyako
katakata vitu vyako vyoo te na Anza kukaanga kama unavyotaka kupika mchuzi Tia chumvi pia Tia na tomatopest
kisha tia nyama yako ipikie mle huku unageuza iachie kidogo
chukua sufuria injika jikoni maji yakichemka weka makaron yako na mafuta kidogo na chumvi funika acha ichemke
tizama nyama yako kama tayari Tia ndim onja acha kidogo
makaroni yako ukiona yameisha (yamelainika) yachuje na kisha yatie kwenye nyama yako
halafu geuza geuza acha yachemke kidogo halafu ipua
mimina kwenye chombo chako halafu weka mezani ita family yako muenjoy
Monday, August 14, 2017
UPISHI WA MAKORONYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment