MAHABA(EXTRA LOVE)π
Mahaba ni mapenzi ya ziada yanayokuja kwa wakati tofauti
πππππππππ
Mabaha yameambatana na vitu hivi:
1.Busara na heshima π
2.Huruma na ukarimuπ
3.Ucheshi na matani π
4.Kuliwaza na umoja. π
5.Ukweli na uwazi π
1.BUSARA NA HESHIMA
kumuheshimu mumeo na kumpa cheo ndani ya nyumba yenu,cheo chake kiwe kikubwa kuliko chako watoto uwafunze kumuonesha heshima zaid baba yao.kumuheshimu mume na kutofanya jambo bila amri yake na kutofanya jambo bila kupata ushairi wake,na pia kumsikili na kumfata amri zake.
πππππππππ
2.HURUMA NA UKARIMU
Umuhurumie anapochoka muambie leo usifanye kaz fulan nakuona umechoka pumzika tafazali,umhurumie anapoumwa anapofanya kaz nzito na anapochoka,umhurumie anapochelewa kurudi nyumban
πππππππππ
Mkarimu kma unavowakarimu wageni wako umuandilie vizuri na umuoneshe ukarimu kma alitoka safari za mbali kma ambapo hamujaonana kwa kipindi kikubwa,mkarimu na umfanyie mazur na kwa siku zote.
πππππππππ
3.UCHESHI NA MATANI.
unapokaa nae mpe maongezi mazuri mazur mtolee hadithi nzur zitakazomfurahisha na kumsisimua.uwe unampa matani ambao yatamchekesha na kumfurahisha na kujiona ana nguvu wakati kachoka, mtanie unapokua nae karibu matani ya kimapenzi.
πππππππππ
4.ULIWAZE NA UMOJA
anapopata msiba wa wazee,ndugu,jamaa na marafiki mliwaze yamuondokee huzun za kufiwa,mliwaze kwa matamu anapokosa riski aliyoitarajia,mliwaze yanapomfika mazito katika nafsi yake na umuambie bado tupo pamoja usimvunje tamaa mpe matumaini.
πππππππππ
5.UKWELI NA UWAZI
unapokaa nae uwe mkweli usiwe msemaji uongo juu yake,kumdanganya ovyo,kumficha yanayokusibu na yaliyotokea nyumban wakat yy alipokua hayupo,kua mkweli jiweke waz muoneshe hisia zako unapokua nae,mpe ukweli uliopo moyoni mwako,hii itamuonesha yy kua "mume yangu nimekupokea"
Jitahid na utafanikiwa
Monday, September 11, 2017
MAHABA
Wednesday, September 6, 2017
NJIA TANO ZA KUDUMISHA PENZI LAKO
Zijue njia tano nyepesi za kukufanya udumu kwenye mahusiano yako,,,
1;;kikawaida binaadamu tumeumbiwa kukoseana,,KUA MWEPESI WA KUSAMEHE,,
2;;katika maisha hakuna mkamilifu,JIFUNZE KUJISHUSHA
3;ni kweli kuna kipindi maisha yanakaba mpaka akili inadata lk,,EPUKA VISIRANI VISIVYO NA MPANGO
4,,,,tumezaliwa family tofauti yeye ana yake na wewe una yako,KUA MWEPESI KUULIZIA KUHUSU WAZAZI WAKE/MZAZI WAKE/NDUGU JAMAA WANAENDELEAJE?
5,,,inawezekana huko alipotokea alikua kwenye misukosuko ya mapenzi mpaka akaamua kukubali kua nawe ni moyo wake tuu ndio umekupenda hivyo basi,,,MPENDE MPAKA ASAHAU ALIPOTOKEA
β β β β β β β
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
-
AWAMU YA PILI KATRESS KAMA NILIVYO SEMA MAHITAJI YOTE NDIO HAYO HAYO ILA HAPA TU KISHA CHANGANYA VITU VYOTE KWENYE VIAZI TUNATIA NA NYAMA Y...