Zijue njia tano nyepesi za kukufanya udumu kwenye mahusiano yako,,,
1;;kikawaida binaadamu tumeumbiwa kukoseana,,KUA MWEPESI WA KUSAMEHE,,
2;;katika maisha hakuna mkamilifu,JIFUNZE KUJISHUSHA
3;ni kweli kuna kipindi maisha yanakaba mpaka akili inadata lk,,EPUKA VISIRANI VISIVYO NA MPANGO
4,,,,tumezaliwa family tofauti yeye ana yake na wewe una yako,KUA MWEPESI KUULIZIA KUHUSU WAZAZI WAKE/MZAZI WAKE/NDUGU JAMAA WANAENDELEAJE?
5,,,inawezekana huko alipotokea alikua kwenye misukosuko ya mapenzi mpaka akaamua kukubali kua nawe ni moyo wake tuu ndio umekupenda hivyo basi,,,MPENDE MPAKA ASAHAU ALIPOTOKEA
➖ ➖ ➖ ➖ ➖ ➖ ➖
Wednesday, September 6, 2017
NJIA TANO ZA KUDUMISHA PENZI LAKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
No comments:
Post a Comment