5 ingredients only
1,,,peanut(karanga)
2,,,cream milk
3,,,consened(kikopo cha maziwa mazito yenye sukari)
4,,,half small spoon of salt(chumvi nusu kijiko kile kidogo kabisa)
5,,,vanilla flavour(ladha ya vanilla)
Saga karanga zako mpaka ziwe laini lakini sio sana
acha ziwe zinatafunika kwa mbali.
chukua bakulia mimina cream na consened na vanilla na ile chumvi anza kusaga kwa dakika 5.
vikishachanganyika mimina karanga zako na uchanganye kwa kutumia mwiko.
hifadhi kwenye frij tayari kwa kula,,,enjoy
Saturday, June 30, 2018
Peanut ice cream(ice cream ya karanga)
Subscribe to:
Posts (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
-
AWAMU YA PILI KATRESS KAMA NILIVYO SEMA MAHITAJI YOTE NDIO HAYO HAYO ILA HAPA TU KISHA CHANGANYA VITU VYOTE KWENYE VIAZI TUNATIA NA NYAMA Y...