Mambo matatu unayoweza kuyapata kwenye unga wa mdalasini
_____________________________
Mdalasini ni moja ya kiungo kizuri ambacho hutumika kuongeza ladha nzuri katika kinywaji.
______________________________________
Mdalasini unaweza kutumika kuanzia magome, na mafuta yatokanayo na magome na kwenye majani.
__________________________________
Unapotumia unga wa magome yake huweza kupunguza matatizo mbalimbali kiafya ikiwa ni pamoja kusaidia kufanya uzazi kuwa karibu, ambapo kiungo hicho kitachanganywa na asali.
___________________________________
Pia matumizi ya mchanganyiko huo wa asali na mdalasini husaidia kuondosha lehemu (cholesterol) ndani ya mwilini
_________________________________________
Pia mdalasini na asali husaidia kutuliza mafua pamoja na kikohozi
Mbali na hayo, pia mdalasini husaidia kuzuia tatizo la gesi tumboni, kichefu chefu na kutapika.
Tuesday, July 11, 2017
MAMBO MATATU UNAYOWEZA KUYAPATA KWENYE UNGA WA MDALASINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment