Tuesday, July 11, 2017

MAMBO MATATU UNAYOWEZA KUYAPATA KWENYE UNGA WA MDALASINI

Mambo matatu unayoweza kuyapata kwenye unga wa mdalasini
_____________________________
Mdalasini ni moja ya kiungo kizuri ambacho hutumika kuongeza ladha nzuri katika kinywaji.
______________________________________
Mdalasini unaweza kutumika kuanzia magome, na mafuta yatokanayo na magome na kwenye majani.
__________________________________
Unapotumia unga wa magome yake huweza kupunguza matatizo mbalimbali kiafya ikiwa ni pamoja kusaidia kufanya uzazi kuwa karibu, ambapo kiungo hicho kitachanganywa na asali.
___________________________________
Pia matumizi ya mchanganyiko huo wa asali na mdalasini husaidia kuondosha lehemu (cholesterol) ndani ya mwilini
_________________________________________
Pia mdalasini na asali husaidia kutuliza mafua pamoja na kikohozi
Mbali na hayo, pia mdalasini husaidia kuzuia tatizo la gesi tumboni, kichefu chefu na kutapika.


No comments:

Post a Comment

Fish balls

FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...