Inawezekana ulitumia muda mwingi sana kwa ajili yake lkn ameshindwa kuuona umuhimu wako kwa kurubunika na kitu kidogo sana,
________________________________________
aijalishi mlitoka mbali kiasi gani kinachoangaliwa hapo ni je amekuacha ktk mazingira gani?nini kilichosababisha akuache,
______________________________________
kipindi haupo nae alikuona wa thamani sana na akaweka ahadi nyingi moyoni kua akikupata utakua ndio mwanzo mzuri wa kuanzisha familia na wewe,mmebahatika kua pamoja anakuona wa kawaida,ameshakuzoea,hajali kitu,
______________________________________
ile thamani yako haioni tena,hajiulizi jinsi ambavyo anakudharau ww kuna wangapi huko nje wanapoteza time yao kukuwazia?najua utaumia lkn zingatia kitu kimoja,upendo wa kweli kwake usikufanye uwe mtumwa wa mapenzi,
_____________________________________
kama akishaanzisha dharau sema nae mara ya kwanza,ya pili,ya tatu na kuendelea ukiona haelewi anza kuinasua roho yako isije kuangamia kwa maumivu kipindi amekuacha,kwani yeye nani??
_________________________________________
walishapita wangapi kabla yake??ana nini kikubwa mno??ukishajiwekea maswali haya kichwani mwako huwezi kuyumba kamwe,
Tuesday, July 11, 2017
USIPOTEZE MUDA IKIWA UMUHIMU WAKO UMESHAPOTEA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
True
ReplyDelete