Kuna baadhi yetu hua tunajisahau sana kwa kuhisi labda apa tulipo ndo tumeshafaulu maisha,hatukai tukajiuliza kwamba kuna kesho tunahitaji kujenga familia kama walivoishi wazazi wetu,
Ni misingi mizuri ikiwa utakaa japo dk kumi ukajitafakari ulikua wapi?upo wapi?na unaelekea wapi??ukipata muda wakutafakari hilo utaelewa maana yangu,,,,,
WAKATI NI UKUTA usije kustuka muda ushapotea unaishia kuangalia maisha ya wenzio na familia zao,,,,,,
Ndipo unaanza kutamani kua na familia ukiangalia umri umeshakutupa,maisha umeshayachezea,kila kitu kipo tofauti na matarajio
Amsha akili yako kwa kuonea wivu wenzio,kwanini wao waweze wewe ushindwe?utakua ni ulimbukeni wa akili kwa kusindikiza wenzio kila siku
Hata vitabu vya dini viliandika muda ukifika unatakiwa ujenge familia kwa kuoa/kuolewa
Starehe zina mwisho wake,ujana una kikomo chake,lkn pia ukumbuke umri nao una mwisho wake,,jaribu kutafakari,,,,,,,
Monday, July 31, 2017
WAKATI NI UKUTA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment