Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo
1,,ndizi
2;;parachichi
3;;apple
4;;maziwa
5;;;asali
Haviitaji gharama kubwa,,chukua ndizi yako moja,parachichi moja,apple moja,maziwa glass moja na asali kijiko kimoja tuu au ukipenda unaweza kuongeza,,saga kwenye brenda na ni vizuri ukaanza kunywa huu mchanganyiko wako kabla hujala chochote,,enjoy
Friday, February 16, 2018
Smoothie
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
-
AWAMU YA PILI KATRESS KAMA NILIVYO SEMA MAHITAJI YOTE NDIO HAYO HAYO ILA HAPA TU KISHA CHANGANYA VITU VYOTE KWENYE VIAZI TUNATIA NA NYAMA Y...
No comments:
Post a Comment