Banana(ndizi)
Strawberry
Milk(maziwa)
Pear(peasi)
👇👇👇👇
Mchanganyiko rahisi wa vitu vinne tuu unaweza kukusaidia katika kupunguza au kuondoa kabisa stress,,
Kwa wenye tatizo la kutopata usingizi hii ni dawa nzuri sana kwenu ,,
Chakufanya andaa vitu vyako hivyo na usage pamoja kwenye brenda
Tumia kunywa asubuhi na jioni kila siku
Friday, February 16, 2018
Tiba nzuri yakuondoa stress
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
No comments:
Post a Comment