Mahitaji
Unga 3 cups
Chumvi kidogo
Olive oil 2 tsp
Sukari 1 tsp
Maziwa ya maji 1 cup
Maji 1cup
Khamira 1tsp
Yai 1
Laban(mtindi)
Haba souda
Ufuta
🍴🍴🍴🍴🍴
Chukua unga changanya na vitu vyote isipokua yai ufuta laban habasoda
Uchanganye unga wako ukisha changanika vizuri uwache umuke
Ukisha umuka ukate madonge 2 utandaze kama unavyoona kwenye picha chukua uma ufanye kama unautoboa toboa kama hapo pichan unavyouona
Chukua yai ile ya njano tu changanya na Laban (mtindi) kidogo ichanganike vizuri ipake juu ya mikate yako vizuri chukua haba soda na ufuta tupia juu ya mkate wache umuuke tena choma kwa oven uwache uwe rangi kama hapo pichan
🍴🍴🍴🍴
Sunday, May 20, 2018
MKATE WA TURKY
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
No comments:
Post a Comment