HALF CAKE
MAHITAJI
Unga wa ngano Nusu
Sukari robo
Baking powder nusu kijiko, kile kidogo
Magadi soda (bicarbonate soda) kijiko cha chai 1,kile kidogo
Mafuta 2 vijiko vya chakula
Mafuta ya kukaangia
Maji ya uvuguvugu kiasi
MATAYARISHO
Changanya unga na vitu vyote (kasoro mafuta ya kuchomea)kisha ukande(hakikisha unakuwa mgumu)
Baada ya hapo sukuma na ukate shape uipendayo (hakikisha unakata vipande vinene kiasi na sio kama mandazi)
Baada ya hapo ziweke sehemu yenye joto na uache ziumuke.
Zikisha umuka zikaange katika moto mdogo ili ziive mpaka ndani.
Zikisha iva zitoe na uiweke kwenye chujio ili zichuje mafuta.
Ziache zipoe na hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa.
Thursday, February 20, 2020
Halfkeki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment