Kalimat
Mahitaji
1,,,,unga ngano nusu
2,,,,unga wa mchele vjk 2 vya chakula
3,,,,chumvi kjk kidogo
4,,,,amira kjk 1 cha chakula
5,,,,sukari kjk 1na nusu cha chakula
6,,,maziwa au tui vjk 2 vya chakula
7,,,mtindi vjk 3 na nusu vya chakula
8,,,,corn flour vjk 3 na nusu vya chakula
MATAYARISHO
Vitu vyote hivyo Tia kwenye bakuli halafu Anza kunyunyizia maji uku unapiga mpaka iwe laini, kisha Tia mafuta vjk 3 na nusu endelea kupiga, sjakupa kiwango cha maji kwahiyo unatakiwa uku unatia maji uku unaangalia mpaka ukiona uji ushakua mzito mzito piga mpaka uone vipovu, ukimaliza tuu kupiga Anza kuchoma usiusubiri uumuke, Kadri utavokua Unachoma ndivyo vitavokua vinazidi kuumuka kwenye bakuli
UKIHITAJI shira tumia iyo iyo tulotengeneza hapo kwenye visheti
Thursday, February 20, 2020
Kalimat
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment