KASHATA ZA NAZI
MAHITAJI
1.Nazi iliokunwa
2.Maziwa (vizuri ukitumia maziwa ya sona ya kikopo ni nzuri zaidi)
3.Hiliki ya unga
4.Siagi kidogo sana kama kijiko kimoja cha chakula.
5.sukari kiasi
6.food color- rangi yoyote(kijani,njano,nyekundu n.k)
MATAYARISHO
1)katika pan weka siagi isubiri ipate moto kidogo.
2)weka rangi, nazi iliokunwa changanya vizuri alafu mimina maziwa,sukari pamoja na hiliki.
3)changanya vizuri hadi ichanganyike alafu ipua.
4)tandaza katika sahani na weka alama za kukata kabisa.
5)weka katika friji ili kashata zishikane
6)kata tayari kwa kuliwa.
NOTE:Kashata zinapendeza kula na kahawa.
Thursday, February 20, 2020
Kashata
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
No comments:
Post a Comment