Hatua ya pili Chukua bakuli lenye viini Anza kutia maziwa uku unakoroga endelea kutia mafuta ya kula, pamoja na vanilla koroga mpaka vichanganyike halafu chota unga wa mkono uwe unatia kidogo kidogo uku ukiendelea kuchanganya mpaka vichanganyike vyote,,, tafadhali huu mchanganyiko wa pili USITUMIE mashine yoyote, tumia mixer ya mkono(whisk) au mwiko tu,ukimaliza hapo changanya michanganyiko yako yote sehemu moja,, yaan unachota huo mchanganyiko wa ute ulosaga kwa kutumia kijiko unatia kwenye bakuli lenye viini mix vizuri mpaka mchanganyiko wako uwe sawa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment