VYAKULA VYA AINA NNE VINAVYOWEZA KU DETOXIFY TUMBO LAKO BILA SHIDA
_________________
🍋Machungwa: !
Yanaweza kukusaidia kusafisha tumbo lako na kukufanya urelax kwakurahisisha mmeng'enyo wa chakula katika tumbo.Kutokana na vitamin C na alkaline inayopatikana katika machungwa inasaidia katika kupigana na bacteria tumboni pamoja na kuongeza kinga zako za mwili.
________________________
🍃Vitunguu swaumu:
!
Vinasaidia pia katika kusafisha tumbo kwa wepesi hasa kwa watu wenye parasites pia ni vizuri katika kulinda tumbo against bacteria,fangasi na virusi vya aina mbalimbali.
_____________
🍇Nazi:
!
Zinasaidia kuua parasites katika mwili hasa katika mfumo wako wa kumeng'enya chakula.Unaweza ukatumia mafuta ya nazi kama nilivyoyaelezea katika post za nyuma na si lazma nazi yenyewe kama tunda na yatakusaidia ku cleans mwili wako kwani yana faida nyingi kama nilivyozieleza.
_______________
🍓Strawberries:
!
Zinafanya kazi kama machungwa yanavyofanya kazi.Zina high antioxidant inayosaidia katika kupigana na bacteria na virusi katika tumbo.Pia zinasaidia kuongeza kinga ya mwili wako na kukulinda na magonjwa tofauti tofauti kama cancer. :
:
________________
🍎🍎Kama una tumbo ambalo haulielewi ni vizuri ukaanza kufanyia kazi hizi dondoo
Tuesday, July 18, 2017
AINA NNE YA VYAKULA MUHIMU
Labels:
naimablog
Location:
Seeb, Oman
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fish balls
FISH BALLS MAHITAJI Tuna vibati viwili (au samaki asiekuwa na miba wa kiasi) Cheese 3/4 cup (tea cup) iloparwa Carrot ndogo 1 (iloparwa ...
-
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA Mahitaji 1.Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai) 2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai) 3...
-
Naomba nikujuze mambo matano muhimu yakuimarisha afya yako ila kumbuka awali ya yote mazoezi ni muhimu kwa afya yako. 1. unaishi sehemu yen...
-
Huu ni mchanganyiko ambao unakupa nguvu na afya,kuna vitu vitano ambavyo vyote ni muhimu kwa afya yako humo 1,,ndizi 2;;parachichi 3;;app...
No comments:
Post a Comment